Isaya 42:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo aliwamwagia hasira yake kali,akawaacha wakumbane na vita vikali.Hasira yake iliwawakia kila upande,lakini wao hawakuelewa chochote;iliwachoma, lakini hawakutilia jambo hilo maanani.

Isaya 42

Isaya 42:23-25