23. Je, mtatega sikio kusikia kitu hiki?Nani kati yenu atakayesikiliza vizuri yatakayotukia?
24. Ni nani aliyewatia Waisraeli mikononi mwa adui zao?Nani aliyewaacha wanyanganywe mali zao?Ni Mwenyezi-Mungu ambaye tumemkosea!Wazee wetu walikataa kuzifuata njia zake,wala hawakuzitii amri zake.
25. Kwa hiyo aliwamwagia hasira yake kali,akawaacha wakumbane na vita vikali.Hasira yake iliwawakia kila upande,lakini wao hawakuelewa chochote;iliwachoma, lakini hawakutilia jambo hilo maanani.