Yoshua 15:24-35 Biblia Habari Njema (BHN)

24. Zifu, Telemu, Bealothi,

25. Hazor-hadata, Kerioth-hezroni (yaani Hazori),

26. Amamu, Shema, Molada,

27. Hasar-gada, Heshmoni, Beth-peleti,

28. Hasar-shuali, Beer-sheba, Biziothia,

29. Baala, Iyimu, Ezemu,

30. Eltoladi, Kesili, Horma,

31. Siklagi, Madmana, Sansana,

32. Lebaothi, Shilhimu, Aini na Rimoni. Jumla ya miji waliyopewa ni ishirini na tisa pamoja na vijiji vyake.

33. Miji iliyokuwa kwenye tambarare ilikuwa: Eshtaoli, Sora, Ashna,

34. Zanoa, Enganimu, Tapua, Enamu,

35. Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,

Yoshua 15