Yoshua 14:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Mji wa Hebroni hapo awali uliitwa Kiriath-arba. Arba alikuwa mtu maarufu kuliko wote kati ya Waanaki. Nchi nzima ikawa tulivu bila vita.

Yoshua 14

Yoshua 14:11-15