21. Miji iliyokuwa upande wa kusini kabisa wa nchi ya Yuda kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,
22. Kina, Dimona, Adada,
23. Kedeshi, Hazori, Ithnani,
24. Zifu, Telemu, Bealothi,
25. Hazor-hadata, Kerioth-hezroni (yaani Hazori),
26. Amamu, Shema, Molada,