Yoshua 15:21-26 Biblia Habari Njema (BHN)

21. Miji iliyokuwa upande wa kusini kabisa wa nchi ya Yuda kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,

22. Kina, Dimona, Adada,

23. Kedeshi, Hazori, Ithnani,

24. Zifu, Telemu, Bealothi,

25. Hazor-hadata, Kerioth-hezroni (yaani Hazori),

26. Amamu, Shema, Molada,

Yoshua 15