Yeremia 50:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, nasema hivi: Nitamwadhibu mfalme wa Babuloni na nchi yake, kama nilivyomwadhibu mfalme wa Ashuru.

Yeremia 50

Yeremia 50:9-22