Yeremia 50:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitawarudisha Waisraeli nchini mwao, nao watakula mavuno yatakayolimwa juu ya mlima Karmeli na Bashani na watatosheka kwa chakula kutoka milima ya Efraimu na Gileadi.

Yeremia 50

Yeremia 50:14-24