Yeremia 50:17 Biblia Habari Njema (BHN)

“Israeli ni kondoo wanaowindwa na kufukuzwa na simba. Kwanza waliangamizwa na mfalme wa Ashuru, na sasa Nebukadneza mfalme wa Babuloni, amevunjavunja mifupa yake.

Yeremia 50

Yeremia 50:10-18