Yeremia 50:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Zuieni watu wasipande mbegu Babuloni,wala wasivune wakati wa mavuno.Kutokana na upanga wa udhalimu,kila mmoja atawarudia watu wakekila mmoja atakimbilia nchini mwake.

Yeremia 50

Yeremia 50:7-24