Yeremia 23:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhusu hao manabii wasiofaa,mimi imevunjika moyo,mifupa yangu yote inatetemeka;nimekuwa kama mlevi,kama mtu aliyelemewa na pombe,kwa sababu yake Mwenyezi-Munguna maneno yake matakatifu.

Yeremia 23

Yeremia 23:7-18