Yeremia 23:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana, nchi imejaa wazinzi;kwa sababu ya laana, nchi inaomboleza,na malisho ya nyanda zake yamekauka.Mienendo ya watu ni miovu,nguvu zao zinatumika isivyo halali.

Yeremia 23

Yeremia 23:1-14