Yeremia 23:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo njia zao zitakuwa vichochoro vya utelezi gizaniambamo watasukumwa na kuanguka;maana, nitawaletea maafa,ufikapo mwaka wa kuwaadhibu,Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.

Yeremia 23

Yeremia 23:11-17