Yeremia 20:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila ninaposema kitu, nalalamika,napaza sauti, “Ukatili na uharibifu!”Maana kwangu kutangaza neno la Mwenyezi-Mungukwanifanya nishutumiwe na kudhihakiwa kutwa nzima.

Yeremia 20

Yeremia 20:1-9