Ufunuo 16:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, malaika wa kwanza akaenda akamwaga bakuli lake juu ya nchi. Mara madonda mabaya na ya kuumiza sana yakawapata wote waliokuwa na alama ya yule mnyama na wale walioiabudu sanamu yake.

Ufunuo 16

Ufunuo 16:1-11