Ufunuo 16:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha malaika wa pili akamwaga bakuli lake baharini. Nayo bahari ikawa damu tupu kama damu ya mtu aliyekufa, na viumbe vyote hai baharini vikafa.

Ufunuo 16

Ufunuo 16:1-9