Ufunuo 14:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Zabibu zikakamuliwa ndani ya hilo shinikizo lililoko nje ya mji, na damu ikatoka katika shinikizo hilo mtiririko wenye kina kufikia hatamu za farasi na urefu upatao kilomita 300.

Ufunuo 14

Ufunuo 14:10-20