Ufunuo 14:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, malaika huyo akautupa mundu wake duniani, akakata zabibu za dunia, akazitia ndani ya chombo kikubwa cha kukamulia zabibu, chombo cha ghadhabu ya Mungu.

Ufunuo 14

Ufunuo 14:13-20