Mwanzo 48:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Israeli akamwambia Yosefu, “Kama uonavyo, mimi niko karibu kufa. Hata hivyo, Mungu atakuwa pamoja nanyi, na kuwarudisheni katika nchi ya babu zenu.

Mwanzo 48

Mwanzo 48:19-22