Malaki 2:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Ni wajibu wa makuhani kuwafundisha watu maarifa ya kweli juu ya Mungu. Watu wawaendee kujifunza matakwa yangu kwao, kwani makuhani ni wajumbe wa Mwenyezi-Mungu wa majeshi.

Malaki 2

Malaki 2:1-17