Malaki 2:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mafundisho yao yalikuwa ya kweli na kamwe hawakufundisha uongo. Mimi na wao tulikaa kwa amani. Si kwamba walitenda haki tu, bali waliwafundisha wengine kutotenda maovu.

Malaki 2

Malaki 2:1-12