Malaki 2:8 Biblia Habari Njema (BHN)

“Bali nyinyi makuhani mmegeuka mkaiacha njia ya haki. Mafundisho yenu yamewaongoza watu wengi katika kutenda mabaya. Mmelivunja agano nililofanya nanyi.

Malaki 2

Malaki 2:7-16