Kutoka 14:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli walipoona tendo hilo la ajabu alilofanya Mwenyezi-Mungu dhidi ya Wamisri, wakamcha, wakawa na imani na Mwenyezi-Mungu na Mose mtumishi wake.

Kutoka 14

Kutoka 14:30-31