Kutoka 14:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo Mwenyezi-Mungu aliwaokoa Waisraeli mikononi mwa Wamisri; nao Waisraeli wakawaona Wamisri wamelala ufuoni wamekufa.

Kutoka 14

Kutoka 14:21-31