Kumbukumbu La Sheria 31:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Nao wazawa wao ambao hawajasikia sheria ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, wapate kuisikia na kujifunza kumcha Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, muda wote mtakaoishi katika nchi ambayo mnakwenda kuimiliki ngambo ya mto Yordani.”

Kumbukumbu La Sheria 31

Kumbukumbu La Sheria 31:11-16