Kumbukumbu La Sheria 24:8 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kama mtu akishikwa na ukoma mnapaswa kuwa waangalifu kufuata maagizo ya Walawi. Kama nilivyowaamuru ndivyo mtakavyofuata kwa uangalifu.

Kumbukumbu La Sheria 24

Kumbukumbu La Sheria 24:7-12