Isaya 43:26-28 Biblia Habari Njema (BHN)

26. “Niambie kama mna kisa nami,njoo tukahojiane;toeni mashtaka yenu ili tuuone ukweli wenu!

27. Babu yenu wa kwanza alitenda dhambi,wapatanishi wenu waliniasi.

28. Kwa hiyo niliwafanya haramu wakuu wa mahali patakatifunikawaacha watu wa Yakobo waangamizwe,naam, nikawaacha Waisraeli watukanwe.”

Isaya 43