Isaya 32:8-11 Biblia Habari Njema (BHN)

8. Lakini waungwana hutenda kiungwana,nao hutetea mambo ya kiungwana.

9. Inukeni, enyi wanawake mnaostarehe, mnisikilize;sikilizeni ninayosema enyi mabinti mlioridhika.

10. Katika mwaka mmoja hivi mtatetemeka nyinyi mliotosheka;maana hamtapata mavuno yoyote,na mavuno ya zabibu yatatoweka.

11. Tetemekeni kwa woga, enyi mnaojikalia tu;tetemekeni kwa hofu, enyi mnaostarehe!Vueni nguo zenu, mbaki uchi,mjifunge vazi la gunia viunoni mwenu.

Isaya 32