13. Lakini nyinyi mmepanda uovu,nyinyi mmevuna dhuluma;mmekula matunda ya uongo wenu.Wewe Israeli ulitegemea nguvu zako mwenyewe,na wingi wa askari wako.
14. Kwa hiyo msukosuko wa vita utawajia watu wako;ngome zako zote zitaharibiwa,kama Shalmani alivyoharibu Beth-arbeli vitani,kina mama wakapondwa pamoja na watoto wao.
15. Ndivyo itakavyokuwa kwenu enyi watu wa Betheli,kwa sababu ya uovu wenu mkuu.Kutakapopambazuka mfalme wa Israeli atawatokomeza.