Amosi 4:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi Bwana Mwenyezi-Mungu Mtakatifu nimeapa:“Tazama, siku zaja,ambapo watu watawakokoteni kwa kulabu,kila mmoja wenu kama samaki kwenye ndoana.

Amosi 4

Amosi 4:1-8