2 Samueli 18:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyo mlinzi akapaza sauti akamwambia mfalme. Mfalme akasema, “Kama yuko peke yake, lazima ana habari.” Yule mtu akazidi kukaribia.

2 Samueli 18

2 Samueli 18:21-33