2 Samueli 18:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi alikuwa ameketi kati ya malango mawili ya mji. Naye mlinzi wa lango akapanda ukutani hadi juu ya lango na alipoinua macho yake aliona mtu anakimbia peke yake.

2 Samueli 18

2 Samueli 18:21-31