2 Samueli 18:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Ahimaasi akamwambia, “Haidhuru; nitakimbia.” Basi, Yoabu akamwambia, “Haya, kimbia.” Kisha Ahimaasi akakimbia akifuata njia ya nyikani akawahi kumpita yule Mkushi.

2 Samueli 18

2 Samueli 18:17-24