2 Samueli 10:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Hadadezeri aliagiza Waaramu waliokuwa ngambo ya mto Eufrate waletwe, wapelekwe huko Helamu wakiongozwa na Shobaki kamanda wa jeshi la Hadadezeri.

2 Samueli 10

2 Samueli 10:15-17