1 Samueli 28:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Shauli akajigeuza na kuvaa mavazi mengine, akaenda huko pamoja na watu wake wawili. Walifika kwa huyo mwanamke usiku, akamwambia, “Nitabirie kwa pepo, umlete duniani yeyote nitakayekutajia.”

1 Samueli 28

1 Samueli 28:2-13