1 Samueli 28:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Shauli akawaambia watumishi wake, “Nitafutieni mwanamke ambaye anaweza kutabiri ili nimwendee na kumtaka shauri.” Watumishi wake wakamjibu, “Yuko mtabiri mmoja huko Endori.”

1 Samueli 28

1 Samueli 28:1-13