1 Samueli 28:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule mwanamke akamwambia, “Wewe unajua kwa hakika kuwa mfalme Shauli amewaangamiza kabisa watabiri na wachawi wote katika nchi ya Israeli. Sasa kwa nini unaniwekea mtego wa kuninasa na kuniua?”

1 Samueli 28

1 Samueli 28:8-11