1 Samueli 28:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata alipomwomba Mwenyezi-Mungu shauri, Mwenyezi-Mungu hakumjibu kwa ndoto, kwa mawe ya kauli, wala kwa njia ya manabii.

1 Samueli 28

1 Samueli 28:1-10