1 Samueli 28:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamjibu Akishi, “Naam! Utaona kitu ambacho mtumishi wako anaweza kufanya.” Akishi akamwambia, “Nami nitakufanya kuwa mlinzi wangu binafsi wa maisha.”

1 Samueli 28

1 Samueli 28:1-12