1 Samueli 28:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya muda fulani, Wafilisti walikusanya majeshi yao tayari kwenda kupigana na Waisraeli. Akishi akamwambia Daudi, “Uelewe vizuri kwamba wewe na watu wako mnapaswa kwenda pamoja nami kupigana vita.”

1 Samueli 28

1 Samueli 28:1-2