1 Samueli 26:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Daudi akamwambia Abishai, “Usimwangamize; maana hakika Mwenyezi-Mungu atamwadhibu mtu yeyote atakayeunyosha mkono wake dhidi ya mteule wake aliyepakwa mafuta.

1 Samueli 26

1 Samueli 26:1-17