1 Samueli 26:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, kwamba Mwenyezi-Mungu mwenyewe atamuua Sauli; ama siku yake ya kufa itafika, au atakwenda vitani na kufia huko.

1 Samueli 26

1 Samueli 26:1-16