1 Samueli 26:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Abishai akamwambia Daudi, “Leo Mungu amemtia adui yako mikononi mwako. Basi, niache nimbane udongoni kwa pigo moja tu la mkuki; sitampiga mara mbili.”

1 Samueli 26

1 Samueli 26:1-10