1 Samueli 25:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Daudi akapokea vitu vyote ambavyo Abigaili alikuwa amemletea, akamwambia Abigaili, “Rudi nyumbani kwako kwa amani. Tazama, mimi nimeyasikia uliyoyasema, na ombi lako nimelipokea.”

1 Samueli 25

1 Samueli 25:26-37