1 Samueli 25:36 Biblia Habari Njema (BHN)

Abigaili aliporudi nyumbani, alimkuta Nabali akifanya karamu kubwa nyumbani kwake kama ya kifalme. Nabali alikuwa ameburudika sana moyoni kwani alikuwa amelewa sana. Hivyo hakumwambia lolote mpaka asubuhi.

1 Samueli 25

1 Samueli 25:34-42