1 Samueli 25:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hakika, Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, amenizuia nisikudhuru. Usingefanya haraka kuja kukutana nami, kwa hakika, kesho asubuhi hakuna mwanamume yeyote wa Nabali angesalia.”

1 Samueli 25

1 Samueli 25:30-37