1 Samueli 21:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi kulikuwa hapo siku hiyo mtumishi mmoja wa Shauli ambaye alikuwa amezuiliwa mbele ya Mwenyezi-Mungu. Mtumishi huyo aliitwa Doegi, Mwedomu, msimamizi wa wachungaji wa Shauli.

1 Samueli 21

1 Samueli 21:1-14