1 Samueli 21:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Daudi akamwambia Ahimeleki, “Je, una upanga au mkuki ambao unaweza kunipatia? Kwa kuwa shughuli za mfalme zilinilazimu niondoke haraka, nami niliondoka bila upanga wangu wala silaha nyingine yoyote.”

1 Samueli 21

1 Samueli 21:5-14