1 Samueli 21:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo kuhani Ahimeleki akampa mikate mitakatifu, kwani hapakuwa na mikate mingine isipokuwa hiyo ya kuwekwa mbele ya Mwenyezi-Mungu, ikabadilishwa na mikate mipya kutoka mekoni.

1 Samueli 21

1 Samueli 21:1-15