1 Samueli 13:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli akamwuliza, “Umefanya nini?” Shauli akamjibu, “Nilipoona watu wananiacha, na wewe hukuja, katika muda wa siku ulizosema, na tena nilipoona Wafilisti wamejipanga tayari kwa vita huko Mikmashi,

1 Samueli 13

1 Samueli 13:9-15