1 Samueli 13:12 Biblia Habari Njema (BHN)

nikawaza kwamba Wafilisti watakuja kunishambulia huko Gilgali. Tena nilikuwa bado sijaomba fadhili za Mwenyezi-Mungu. Ndipo nilipolazimika kutolea mimi mwenyewe sadaka ya kuteketezwa.”

1 Samueli 13

1 Samueli 13:11-17